Hi kulikua na baba alikua anaishi na biniti yake,sikumoja binti akaja na boyfriend wake usiku ,baba alipokua kwa chumba chake akasikia yule bfrnd akimwambia binti please sitaingiza yote nita ingiza KICHWA pekeyake,baba aliposikia hivo akamwambia binti yake mwanangu usikubali anakudanganya hainamabega itaingia yote.
Watoto baada ya kumaliza michezo yao,kila mtoto anachukua kilicho chake na kwenda kwao. anabaki mtoto mmoja akilia kwa majonzi, ikabidi aulizwe na majibu yalikuwa hivi (nimeibiwa viatu vyangu), akaambiwa amuachie mungu kwani yatakwisha. akajibu(siwezi kumuachia mungu kwani zilikuwa ndogo hivyo yeye haviwezi kumtosha)
Wezi wa Mifugo waliiba ng"ombe kwa Mmasai kisha wakamfunga Mmaasai Uchi kwenye Mti ucku kucha Asubuhi Majirani wakamuona na kumpa pole akasema sisikitikii Ng\'ombe Wangu kuibiwa bali huyu Ndama waliemuacha alikuja kuninyonya .......... yangu usiku kucha akidhani ni ziwa la Mama yake hapa nipo hoi kanipigisha mabao 6 mili nsima inamaumifuu makali....sheee.
Kuna kaka mmoja alimchukua dada mmoja na kwenda nae katika kioksi kwa ajili ya mazungumzo. Walipofika na kukaa tu katika viti yule kaka akamuuliza yule dada, “unatumia whatsapp”, yule dada akajibu , “ndio natumia sana za baridi, nimeachana na bavaria siku hizi..”
BABA NA MWANAE.
BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitapata mia kwa mia.
BABA: kwanini unasema hivyo?.
DOGO: kwasababu jana kanisani tulifundishwa "Yesu ni jibu" kwahiyo kote nimejaza Yesu.
BABA: kwel kazi ipo
KWA VICHEKESHO ZAIDI BOFYA HAPA

0 comments:
Post a Comment